28 Naye kuhani atatia sehemu ya mafuta hayo yaliyo katika mkono wake kwenye ncha ya sikio la kuume la yule anayejitakasa na kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume na kwenye kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume juu ya mahali penye ile damu ya toleo la hatia.+