16 “Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu kuhusiana na uchafu+ wa wana wa Israeli na kuhusiana na maasi yao katika dhambi zao zote;+ na hivyo ndivyo anavyopaswa kufanya kwa ajili ya hema la mkutano, linalokaa pamoja nao katikati ya uchafu wao.