Mambo ya Walawi 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Na yule+ aliyempeleka yule mbuzi kwa ajili ya Azazeli,+ atayafua mavazi yake, naye ataoga mwili wake katika maji,+ kisha anaweza kuingia kambini.
26 “Na yule+ aliyempeleka yule mbuzi kwa ajili ya Azazeli,+ atayafua mavazi yake, naye ataoga mwili wake katika maji,+ kisha anaweza kuingia kambini.