Mambo ya Walawi 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa yule kondoo-dume wa toleo la hatia mbele za Yehova kwa ajili ya dhambi yake ambayo alitenda; naye atasamehewa dhambi yake ambayo alitenda.+
22 Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa yule kondoo-dume wa toleo la hatia mbele za Yehova kwa ajili ya dhambi yake ambayo alitenda; naye atasamehewa dhambi yake ambayo alitenda.+