Mambo ya Walawi 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na mwanamke akimkaribia mnyama yeyote ili kuungana+ naye, mtamuua mwanamke huyo na mnyama huyo. Lazima wauawe. Damu yao wenyewe iko juu yao.
16 Na mwanamke akimkaribia mnyama yeyote ili kuungana+ naye, mtamuua mwanamke huyo na mnyama huyo. Lazima wauawe. Damu yao wenyewe iko juu yao.