Mambo ya Walawi 23:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Hata hivyo, katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakapokuwa mmeyakusanya mazao ya nchi, mtasherehekea sherehe+ ya Yehova siku saba.+ Katika siku ya kwanza ni pumziko kamili na katika siku ya nane ni pumziko kamili.+
39 Hata hivyo, katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakapokuwa mmeyakusanya mazao ya nchi, mtasherehekea sherehe+ ya Yehova siku saba.+ Katika siku ya kwanza ni pumziko kamili na katika siku ya nane ni pumziko kamili.+