Mambo ya Walawi 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mtoe nje ya kambi+ yule aliyelaani; na wale wote waliomsikia wataweka mikono+ yao juu ya kichwa chake, nalo kusanyiko lote litampiga kwa mawe.+
14 “Mtoe nje ya kambi+ yule aliyelaani; na wale wote waliomsikia wataweka mikono+ yao juu ya kichwa chake, nalo kusanyiko lote litampiga kwa mawe.+