Mambo ya Walawi 25:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “‘Sasa ikiwa mtu atauza nyumba ya kukaa katika jiji lenye ukuta, haki yake ya kuikomboa itaendelea pia mpaka mwaka umalizike tangu alipoiuza; haki yake ya kukomboa+ itaendelea kwa mwaka mzima.
29 “‘Sasa ikiwa mtu atauza nyumba ya kukaa katika jiji lenye ukuta, haki yake ya kuikomboa itaendelea pia mpaka mwaka umalizike tangu alipoiuza; haki yake ya kukomboa+ itaendelea kwa mwaka mzima.