-
Mambo ya Walawi 25:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 Lakini ikiwa haitanunuliwa na kurudishwa kabla ya ule mwaka mzima kutimia kwa ajili yake, nyumba hiyo iliyo katika jiji lenye ukuta itasimama milele ikiwa mali ya mnunuzi katika vizazi vyake. Haitarudishwa katika Yubile.
-