Mambo ya Walawi 25:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na mahali ambapo mali ya Walawi hainunuliwi tena, nyumba iliyouzwa katika jiji la miliki yake itatoka pia katika Yubile;+ kwa sababu nyumba za majiji ya Walawi ni miliki yao katikati ya wana wa Israeli.+
33 Na mahali ambapo mali ya Walawi hainunuliwi tena, nyumba iliyouzwa katika jiji la miliki yake itatoka pia katika Yubile;+ kwa sababu nyumba za majiji ya Walawi ni miliki yao katikati ya wana wa Israeli.+