Mambo ya Walawi 25:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Au ndugu ya baba yake au mwana wa ndugu ya baba yake anaweza kumnunua, au mtu wa jamaa yake ya kimwili mwenye uhusiano wa damu,+ mtu wa familia yake, anaweza kumnunua tena. “‘Au ikiwa mkono wake mwenyewe umepata mali, basi mwenyewe atajinunua.+
49 Au ndugu ya baba yake au mwana wa ndugu ya baba yake anaweza kumnunua, au mtu wa jamaa yake ya kimwili mwenye uhusiano wa damu,+ mtu wa familia yake, anaweza kumnunua tena. “‘Au ikiwa mkono wake mwenyewe umepata mali, basi mwenyewe atajinunua.+