Mambo ya Walawi 26:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Nami nitakumbuka kwa ajili yao lile agano la mababu+ zao ambao niliwatoa katika nchi ya Misri machoni pa mataifa,+ ili nijionyeshe kuwa Mungu wao. Mimi ni Yehova.’” Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 26:45 “Kila Andiko,” uku. 26
45 Nami nitakumbuka kwa ajili yao lile agano la mababu+ zao ambao niliwatoa katika nchi ya Misri machoni pa mataifa,+ ili nijionyeshe kuwa Mungu wao. Mimi ni Yehova.’”