22 Wa wana wa Simeoni,+ kuzaliwa kwao kulingana na familia zao katika nyumba ya baba zao, watu wake walioandikishwa kulingana na hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa kati yao, wanaume wote wenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi, kila mtu anayeingia jeshini,