Mwanzo 29:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Ni kwa sababu Yehova amesikiliza,+ kwa kuwa nilichukiwa na kwa hiyo akanipa huyu pia.” Ndipo akamwita jina lake Simeoni.+ Mwanzo 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wana wa Simeoni+ walikuwa Yemueli na Yamini na Ohadi na Yakini+ na Zohari na Shauli+ mwana wa mwanamke Mkanaani. Hesabu 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na wale wanaopiga kambi kando yake watakuwa kabila la Simeoni, na mkuu wa wana wa Simeoni ni Shelumieli+ mwana wa Zurishadai. Hesabu 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wana wa Simeoni+ kulingana na familia zao: wa Nemueli+ familia ya Wanemueli; wa Yamini+ familia ya Wayamini; wa Yakini+ familia ya Wayakini;
33 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Ni kwa sababu Yehova amesikiliza,+ kwa kuwa nilichukiwa na kwa hiyo akanipa huyu pia.” Ndipo akamwita jina lake Simeoni.+
10 Na wana wa Simeoni+ walikuwa Yemueli na Yamini na Ohadi na Yakini+ na Zohari na Shauli+ mwana wa mwanamke Mkanaani.
12 Na wale wanaopiga kambi kando yake watakuwa kabila la Simeoni, na mkuu wa wana wa Simeoni ni Shelumieli+ mwana wa Zurishadai.
12 Wana wa Simeoni+ kulingana na familia zao: wa Nemueli+ familia ya Wanemueli; wa Yamini+ familia ya Wayamini; wa Yakini+ familia ya Wayakini;