Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Ni kwa sababu Yehova amesikiliza,+ kwa kuwa nilichukiwa na kwa hiyo akanipa huyu pia.” Ndipo akamwita jina lake Simeoni.+

  • Mwanzo 46:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wana wa Simeoni+ walikuwa Yemueli na Yamini na Ohadi na Yakini+ na Zohari na Shauli+ mwana wa mwanamke Mkanaani.

  • Hesabu 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na wale wanaopiga kambi kando yake watakuwa kabila la Simeoni, na mkuu wa wana wa Simeoni ni Shelumieli+ mwana wa Zurishadai.

  • Hesabu 26:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wana wa Simeoni+ kulingana na familia zao: wa Nemueli+ familia ya Wanemueli; wa Yamini+ familia ya Wayamini; wa Yakini+ familia ya Wayakini;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki