8 Lakini ikiwa huyo aliyetendewa kosa hana mtu wa jamaa ya karibu wa kulipwa yale malipo ya hatia, yale malipo ya hatia yanayorudishwa kwa Yehova yatakuwa ya kuhani, isipokuwa yule kondoo-dume wa upatanisho ambaye atamtumia kufanya upatanisho kwa ajili yake.+