Hesabu 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ikiwa mtu aliyekosewa hana mtu wa karibu wa ukoo atakayepokea malipo hayo, yanapaswa kurudishwa kwa Yehova nayo yatakuwa ya kuhani, isipokuwa kondoo dume wa dhabihu ya kufunika dhambi atakayetolewa kufunika dhambi yake.+
8 Lakini ikiwa mtu aliyekosewa hana mtu wa karibu wa ukoo atakayepokea malipo hayo, yanapaswa kurudishwa kwa Yehova nayo yatakuwa ya kuhani, isipokuwa kondoo dume wa dhabihu ya kufunika dhambi atakayetolewa kufunika dhambi yake.+