Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye atalipia dhambi aliyotenda dhidi ya mahali patakatifu na pia ataongeza sehemu ya tano ya thamani ya vitu hivyo.+ Atampa kuhani, ili kuhani amtolee dhabihu ya kufunika dhambi+ yake akitumia kondoo dume wa dhabihu ya hatia, naye atasamehewa.+

  • Mambo ya Walawi 6:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye atamletea kuhani kondoo dume asiye na kasoro kutoka kundini ili amtolee Yehova dhabihu ya hatia kulingana na thamani iliyokadiriwa ya dhabihu ya hatia.+ 7 Kuhani atamtolea dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova, naye atasamehewa kosa lolote ambalo lilifanya awe na hatia.”+

  • Mambo ya Walawi 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sheria kuhusu dhabihu ya dhambi ni sawa na sheria kuhusu dhabihu ya hatia; dhabihu hiyo ni ya kuhani aliyeitoa kufunika dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki