18 Naye kuhani atamsimamisha mwanamke huyo mbele za Yehova na kufungua nywele za kichwa cha mwanamke huyo na kutia kwenye viganja vya mkono wake lile toleo la nafaka la ukumbusho, yaani, toleo la nafaka la wivu,+ na katika mkono wa kuhani kutakuwa na maji machungu yanayoleta laana.+