18 Baada ya kuhani kumsimamisha mwanamke huyo mbele za Yehova, atafungua nywele za mwanamke huyo na kuweka katika mikono ya mwanamke huyo lile toleo la nafaka la kumbukumbu, yaani, toleo la nafaka la wivu,+ huku kuhani akiwa ameshika mkononi yale maji machungu yanayoleta laana.+