Hesabu 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 anapaswa kujiepusha na divai na kileo. Hatakunywa siki ya divai au siki ya kileo,+ wala kunywa maji yoyote yanayotengenezwa kutokana na zabibu, wala kula zabibu zikiwa mbichi au zikiwa zimekauka.
3 anapaswa kujiepusha na divai na kileo. Hatakunywa siki ya divai au siki ya kileo,+ wala kunywa maji yoyote yanayotengenezwa kutokana na zabibu, wala kula zabibu zikiwa mbichi au zikiwa zimekauka.