Hesabu 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Sasa hii ndiyo sheria kumhusu Mnadhiri: Katika siku ambayo siku za Unadhiri wake zitatimia,+ ataletwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.
13 “‘Sasa hii ndiyo sheria kumhusu Mnadhiri: Katika siku ambayo siku za Unadhiri wake zitatimia,+ ataletwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.