26 Ndipo Paulo akawachukua wanaume hao pamoja naye siku iliyofuata akajitakasa kisherehe pamoja nao+ na kuingia ndani ya hekalu, kutoa taarifa juu ya siku ambazo zingetimizwa+ kwa huo utakaso wa kisherehe, mpaka toleo+ litolewe kwa ajili ya kila mmoja wao.+