18 Nilipokuwa nikishughulikia mambo haya wakanikuta nikiwa nimetakaswa kisherehe katika hekalu,+ lakini nikiwa bila umati wala fujo. Lakini kulikuwa na Wayahudi fulani kutoka wilaya ya Asia,
20 Na kwa hiyo kwa Wayahudi+ nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi; kwa wale walio chini ya sheria nilikuwa kama aliye chini ya sheria,+ ingawa mimi mwenyewe siko chini ya sheria,+ ili niwapate wale walio chini ya sheria.