14 Naye atamtolea Yehova toleo lake, kondoo-dume mmoja asiye na kasoro, aliye katika mwaka wake wa kwanza awe toleo la kuteketezwa+ na mwana-kondoo jike asiye na kasoro, aliye katika mwaka wake wa kwanza awe toleo la dhambi+ na kondoo-dume mmoja asiye na kasoro awe dhabihu ya ushirika,+