Hesabu 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa kukawa na watu ambao walikuwa wamekuwa najisi kwa sababu ya nafsi+ ya binadamu hivi kwamba hawakuweza kuitayarisha dhabihu ya pasaka katika siku hiyo. Kwa hiyo wakaenda mbele ya Musa na Haruni katika siku hiyo.+
6 Sasa kukawa na watu ambao walikuwa wamekuwa najisi kwa sababu ya nafsi+ ya binadamu hivi kwamba hawakuweza kuitayarisha dhabihu ya pasaka katika siku hiyo. Kwa hiyo wakaenda mbele ya Musa na Haruni katika siku hiyo.+