Hesabu 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha watu hao wakamwambia: “Tumekuwa najisi kwa sababu ya nafsi ya binadamu. Kwa nini tuzuiwe kumtolea Yehova toleo+ katika wakati wake uliowekwa katikati ya wana wa Israeli?”
7 Kisha watu hao wakamwambia: “Tumekuwa najisi kwa sababu ya nafsi ya binadamu. Kwa nini tuzuiwe kumtolea Yehova toleo+ katika wakati wake uliowekwa katikati ya wana wa Israeli?”