Hesabu 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na ikawa kwamba Sanduku lilipokuwa likiondoka, Musa alikuwa akisema: “Usimame, Ee Yehova, adui zako na watawanyike;+ na wale wanaokuchukia vikali wakimbie toka mbele zako.”+
35 Na ikawa kwamba Sanduku lilipokuwa likiondoka, Musa alikuwa akisema: “Usimame, Ee Yehova, adui zako na watawanyike;+ na wale wanaokuchukia vikali wakimbie toka mbele zako.”+