Hesabu 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Musa akasema na wana wa Israeli, na wakuu wao wote wakampa fimbo kwa ajili ya kila mkuu, fimbo moja kwa kila mkuu, kulingana na nyumba ya baba zao, fimbo kumi na mbili;+ nayo fimbo ya Haruni ilikuwa kati ya fimbo zao.+
6 Basi Musa akasema na wana wa Israeli, na wakuu wao wote wakampa fimbo kwa ajili ya kila mkuu, fimbo moja kwa kila mkuu, kulingana na nyumba ya baba zao, fimbo kumi na mbili;+ nayo fimbo ya Haruni ilikuwa kati ya fimbo zao.+