7 Na wewe na wana wako pamoja nawe mnapaswa kuulinda ukuhani wenu juu ya kila shughuli ya madhabahu na juu ya kile kilicho ndani ya pazia;+ nanyi mtatoa utumishi.+ Nitawapa ukuhani wenu kama utumishi wa zawadi, na mgeni atakayesogea karibu lazima auawe.”+