19 Michango yote mitakatifu,+ ambayo wana wa Israeli watamchangia Yehova, nimekupa wewe na wana wako na binti zako pamoja nawe, iwe posho lenu mpaka wakati usio na kipimo.+ Ni agano la chumvi mpaka wakati usio na kipimo mbele za Yehova kwa ajili yako na kwa ajili ya uzao wako pamoja nawe.”+