13 “‘Na kila toleo kati ya toleo lako la nafaka utalikoleza kwa chumvi;+ wala usikubali chumvi ya agano+ la Mungu wako ikosekane kwenye toleo lako la nafaka. Pamoja na kila toleo lako utatoa chumvi.
5 Je, si juu yenu kujua kwamba Yehova Mungu wa Israeli mwenyewe alimpa Daudi+ ufalme juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+ kwake na kwa wanawe,+ kwa agano la chumvi?+