Hesabu 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Na mwanamume aliye safi atayakusanya majivu+ ya ng’ombe huyo na kuyaweka nje ya kambi katika mahali safi; nayo yatatumika kama kitu cha kuwekwa kwa ajili ya yale maji ya kutakasa kwa wana wa Israeli.+ Ni toleo la dhambi.
9 “‘Na mwanamume aliye safi atayakusanya majivu+ ya ng’ombe huyo na kuyaweka nje ya kambi katika mahali safi; nayo yatatumika kama kitu cha kuwekwa kwa ajili ya yale maji ya kutakasa kwa wana wa Israeli.+ Ni toleo la dhambi.