Hesabu 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Nayo itatumika kama sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yao, kwamba yule anayetapanya maji kwa ajili ya kutakasa anapaswa kuyafua mavazi yake,+ pia yule anayegusa maji ya kutakasa. Atakuwa asiye safi mpaka jioni.
21 “‘Nayo itatumika kama sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yao, kwamba yule anayetapanya maji kwa ajili ya kutakasa anapaswa kuyafua mavazi yake,+ pia yule anayegusa maji ya kutakasa. Atakuwa asiye safi mpaka jioni.