Hesabu 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Punda huyo alipomwona malaika wa Yehova akalala chini, chini ya Balaamu; hivi kwamba hasira ya Balaamu ikawaka,+ naye akaendelea kumpiga punda kwa fimbo yake.
27 Punda huyo alipomwona malaika wa Yehova akalala chini, chini ya Balaamu; hivi kwamba hasira ya Balaamu ikawaka,+ naye akaendelea kumpiga punda kwa fimbo yake.