Methali 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mwenye hekima huogopa na kuepuka ubaya,+ lakini mjinga anakuwa na ghadhabu na mwenye kujitumaini.+ Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+
16 Mwenye hekima huogopa na kuepuka ubaya,+ lakini mjinga anakuwa na ghadhabu na mwenye kujitumaini.+