Hesabu 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Balaki akafanya mara moja kama vile Balaamu alivyokuwa amesema. Kisha Balaki na Balaamu wakatoa ng’ombe-dume mmoja na kondoo-dume mmoja juu ya kila madhabahu.+
2 Balaki akafanya mara moja kama vile Balaamu alivyokuwa amesema. Kisha Balaki na Balaamu wakatoa ng’ombe-dume mmoja na kondoo-dume mmoja juu ya kila madhabahu.+