Hesabu 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Balaki akamwambia: “Njoo, tafadhali, pamoja nami mpaka mahali pengine ambapo unaweza kuwaona. Ila utauona mwisho wao tu, nawe hutawaona+ wote. Nawe uwalaani kwa ajili yangu kutoka huko.”+
13 Ndipo Balaki akamwambia: “Njoo, tafadhali, pamoja nami mpaka mahali pengine ambapo unaweza kuwaona. Ila utauona mwisho wao tu, nawe hutawaona+ wote. Nawe uwalaani kwa ajili yangu kutoka huko.”+