Hesabu 23:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ndipo Balaki akamwambia Balaamu: “Njoo, tafadhali. Acha nikupeleke mahali pengine tena. Labda itakuwa sawa machoni pa Mungu wa kweli ili upate kuwalaani kwa ajili yangu kutoka huko.”+
27 Ndipo Balaki akamwambia Balaamu: “Njoo, tafadhali. Acha nikupeleke mahali pengine tena. Labda itakuwa sawa machoni pa Mungu wa kweli ili upate kuwalaani kwa ajili yangu kutoka huko.”+