Hesabu 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha akamfuata yule mwanamume wa Israeli ndani ya hema lenye kuba na kuwachoma wote wawili, mwanamume huyo wa Israeli na mwanamke huyo kupitia sehemu zake za uzazi. Ndipo tauni ikakomeshwa kutoka kwa wana wa Israeli.+
8 Kisha akamfuata yule mwanamume wa Israeli ndani ya hema lenye kuba na kuwachoma wote wawili, mwanamume huyo wa Israeli na mwanamke huyo kupitia sehemu zake za uzazi. Ndipo tauni ikakomeshwa kutoka kwa wana wa Israeli.+