Hesabu 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nalo jina la mwanamke Mmidiani aliyepigwa na kuuawa lilikuwa Kozbi binti ya Suri;+ huyo alikuwa kichwa katika ukoo wa nyumba ya upande wa baba yake katika Midiani.+
15 Nalo jina la mwanamke Mmidiani aliyepigwa na kuuawa lilikuwa Kozbi binti ya Suri;+ huyo alikuwa kichwa katika ukoo wa nyumba ya upande wa baba yake katika Midiani.+