Hesabu 29:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Nanyi mtatoa toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto, lenye harufu ya kumtuliza Yehova, ng’ombe-dume mmoja, kondoo-dume mmoja, wana-kondoo dume saba kila mmoja wao akiwa na umri wa mwaka mmoja, ambao hawana kasoro;+
36 Nanyi mtatoa toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto, lenye harufu ya kumtuliza Yehova, ng’ombe-dume mmoja, kondoo-dume mmoja, wana-kondoo dume saba kila mmoja wao akiwa na umri wa mwaka mmoja, ambao hawana kasoro;+