Hesabu 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana kabila la wana wa Warubeni kulingana na nyumba za baba zao na kabila la wana wa Wagadi kulingana na nyumba za baba zao tayari wamechukua, na nusu ya kabila la Manase tayari wamechukua urithi wao.+
14 Kwa maana kabila la wana wa Warubeni kulingana na nyumba za baba zao na kabila la wana wa Wagadi kulingana na nyumba za baba zao tayari wamechukua, na nusu ya kabila la Manase tayari wamechukua urithi wao.+