Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Basi Musa akawapa, yaani, wana wa Gadi+ na wana wa Rubeni+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu, ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, nchi ya majiji yake katika maeneo, na majiji ya nchi kuzunguka pande zote.

  • Kumbukumbu la Torati 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nasi tukaitwaa nchi hii wakati huo; kutoka Aroeri,+ kando ya bonde la Arnoni, na nusu ya eneo lenye milima la Gileadi, na majiji yake nimewapa Warubeni na Wagadi.+

  • Kumbukumbu la Torati 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na ile Gileadi+ nyingine na Bashani+ yote ya ufalme wa Ogu nimewapa nusu ya kabila la Manase. Eneo lote la Argobu+ la Bashani yote, je, haliitwi nchi ya Warefaimu?+

  • Yoshua 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na pamoja na ile nusu nyingine ya kabila, Warubeni na Wagadi walichukua urithi wao ambao Musa aliwapa ng’ambo ya Yordani iliyo upande wa mashariki, kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa amewapa,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki