Hesabu 35:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana alipaswa kukaa katika jiji la makimbilio mpaka kifo cha kuhani mkuu,+ na baada ya kifo cha kuhani mkuu yule muuaji asiyekusudia anaweza kurudi katika nchi iliyo miliki yake. Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 35:28 Mnara wa Mlinzi,11/15/1995, kur. 13-14, 18-19
28 Kwa maana alipaswa kukaa katika jiji la makimbilio mpaka kifo cha kuhani mkuu,+ na baada ya kifo cha kuhani mkuu yule muuaji asiyekusudia anaweza kurudi katika nchi iliyo miliki yake.