Kumbukumbu la Torati 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Nami nikamwamuru Yoshua+ wakati huo, na kusema, ‘Macho yako yanaona yote ambayo Yehova Mungu wako amewafanyia wafalme hao wawili. Hivyo ndivyo Yehova atakavyozifanyia falme zote ambazo mnavuka kuziendea huko.+
21 “Nami nikamwamuru Yoshua+ wakati huo, na kusema, ‘Macho yako yanaona yote ambayo Yehova Mungu wako amewafanyia wafalme hao wawili. Hivyo ndivyo Yehova atakavyozifanyia falme zote ambazo mnavuka kuziendea huko.+