Kumbukumbu la Torati 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na itatukia kwamba, kwa sababu mnaendelea kusikiliza maamuzi haya ya hukumu na kuyashika na kuyatekeleza,+ Yehova Mungu wako atakutimizia lile agano+ na fadhili zenye upendo ambazo aliwaapia mababu zako.+
12 “Na itatukia kwamba, kwa sababu mnaendelea kusikiliza maamuzi haya ya hukumu na kuyashika na kuyatekeleza,+ Yehova Mungu wako atakutimizia lile agano+ na fadhili zenye upendo ambazo aliwaapia mababu zako.+