Kumbukumbu la Torati 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na Yehova akaniambia, ‘Ondoka, shuka upesi kutoka hapa, kwa sababu watu wako uliowatoa Misri wametenda kwa uharibifu.+ Wamegeuka kando upesi kutoka katika njia ambayo niliwaamuru. Wamejifanyia wenyewe sanamu ya kuyeyushwa.’+
12 na Yehova akaniambia, ‘Ondoka, shuka upesi kutoka hapa, kwa sababu watu wako uliowatoa Misri wametenda kwa uharibifu.+ Wamegeuka kando upesi kutoka katika njia ambayo niliwaamuru. Wamejifanyia wenyewe sanamu ya kuyeyushwa.’+