Kumbukumbu la Torati 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Kwa hiyo nikaendelea kujilaza kifudifudi mbele za Yehova siku 40, mchana na usiku,+ kwa maana nilijilaza kifudifudi hivyo kwa sababu Yehova alizungumza juu ya kuwaangamiza ninyi.+
25 “Kwa hiyo nikaendelea kujilaza kifudifudi mbele za Yehova siku 40, mchana na usiku,+ kwa maana nilijilaza kifudifudi hivyo kwa sababu Yehova alizungumza juu ya kuwaangamiza ninyi.+