16 Na nyara zake zote utakusanya katikati ya kiwanja chake cha watu wote, nawe utaliteketeza jiji+ hilo kwa moto pamoja na nyara zake zote kama toleo zima la kuteketezwa kwa Yehova Mungu wako, nalo litakuwa rundo la mabomoko mpaka wakati usio na kipimo.+ Halipaswi kujengwa tena kamwe.