Kumbukumbu la Torati 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Aina hii tu ndiyo ambayo hampaswi kula kati ya wale wanaocheua au wenye ukwato uliopasuka, wenye mwatuko: ngamia+ na sungura+ na wibari,+ kwa sababu hao hucheua lakini hawana ukwato uliopasuka. Hao si safi kwenu.
7 Aina hii tu ndiyo ambayo hampaswi kula kati ya wale wanaocheua au wenye ukwato uliopasuka, wenye mwatuko: ngamia+ na sungura+ na wibari,+ kwa sababu hao hucheua lakini hawana ukwato uliopasuka. Hao si safi kwenu.